Sehemu
Parable of the Lamp
dakika 1FHD
JESUS·18 kati ya 61Klipu 18 kati ya 61
Parable of the Lamp
Jesus uses a torch to explain how his followers should live. No one covers the light or puts it under a bed. Instead, they put it in a place where people will see the light when they come in. He goes on to say that whatever is kept a secret will be brought into the open. And anything that's covered up will be found and brought into the light.
MaswaliMaswali Yanayohusiana
Uliza lakoNukuu za Biblia
ShirikiNakala
Swahili, Tanzania (Kiswahili)
Hakuna mtu aiwashaye taa na kuifunika kwa chombo.
Au huiweka uvunguni.
Bali huiweka juu ya kinara,
ili waingiao wapate kuona nuru yake.
Kwa maana hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa.
Wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kuonekana wazi.
Jiangalieni msikiavyo,
kwa kuwa mwenye kitu atapewa,
Na yule asiye na kitu, atanyang'anywa hata ambacho anadhani anacho.
Mwalimu,
mama yako na ndugu zako wako nje,
wataka kukuona.
Mama na ndugu zangu ni walisikiao neno la Mungu
na kulitii.