2 kati ya 10New Believer Course · 10 sura

2. The Blood of Jesus

Forgiveness and life is only possible when pure blood is shed. That is why Jesus, the only truly pure man, willingly chose to die for us.

Uliza lako

Nukuu za Biblia

Shiriki
John 3:16

For God so loved the world that He gave His one and only Son, that everyone who believes in Him shall not perish but have eternal life.

Berean Standard Bible

Public Domain

Soma zaidi...
Rasilimali Bure

Ungependa kuelewa Biblia kwa kina zaidi?

Jiunge na masomo yetu ya Biblia

Nakala

Swahili, Tanzania (Kiswahili)
Ni kitu gani kuhusu damu ya Yesu, ambacho pekee kinaweza kuleta uzima wa milele? Mungu alituambia kwamba uhai wetu uko katika damu yetu Alituonya kwamba tusipomtii, tutakufa. Lakini tulifanya hivyo. Tulijaribu sana kubadili kile kilichokua ndani yetu, Kwahio uwovu ukasambaa na kututawala. Vurugu ilileta vurugu zaidi. Uovu ulisababisha uovu zaidi. Mungu alipotuona, udhalimu na jeuri vilimkasirisha. na kumuvunja moyo Kwa hiyo, aliahidi kwamba siku moja mtu maalum atakuja kuweka kila kitu sawa. Kuna watu waliotarajia mfalme mkuu. Wengi walijiuliza kama angewaua watu wote waovu. Badala yake, kwa upendo, Mungu alijituma kama mtoto asiyejiweza. Alikua na kuishi, pamoja nasi, kufa badala yetu, kuuawa na sisi. Kwa sababu ni damu ya mtu safi, asiye na hatia tu, ina uzima wa milele unaotosha kuosha mauovu yetu. Tunapomwamini kwa kumpa maisha yetu kama alivyotoa Maisha yake, uhai katika damu yake unachukua nafasi yetu na hutuweka huru, mbali na maovu yetu. Kisha tunaweza kufurahia maisha pamoja naye, milele.
JesusFilm