New Believer Course·8 kati ya 10

8. The Bible

The Bible is called the Word of God because it is God’s way of explaining who he is, who we are, where we came from, and why we exist.

Uliza lako

Nukuu za Biblia

Shiriki
Psalm 119:105

Your word is a lamp to my feet and a light to my path.

Berean Standard Bible

Public Domain

Soma zaidi...
Rasilimali Bure

Ungependa kuelewa Biblia kwa kina zaidi?

Jiunge na masomo yetu ya Biblia

Nakala

Swahili, Tanzania (Kiswahili)
Je, tunaanzaje kumwelewa Mungu wa ulimwengu mzima? Hapo mwanzo Mungu alipowaumba watu wa kwanza na kuwaweka katika bustani nzuri. alitembea nao, na kuwafundisha kibinafsi. Mpaka maamuzi yao maovu yalipowatenga na upendo na uwepo wake. Walakini watu hawakuishi bila tumaini. Kwa sababu katika historia nzima, Mungu aliendelea kusema na waliompenda na kumtumikia, na nyakati fulani, aliwaamuru kuandika na kuhifadhi yale aliyowafundisha. Maandiko hayo yaliwekwa katika mkusanyo wa vitabu 66 vinavyoitwa Biblia. Kupitia kusoma vitabu vya Biblia, tunaanza kuelewa Mungu ni nani, na ameahidi nini. Pia, tulikotoka, sisi ni akina nani, na kusudi letu ni nini. Kwa sababu tu ya mwongozo wa Biblia wa maisha mazima tunaweza kukua kumfahamu, na kupata uhuru na maisha ambayo hayataisha.
JesusFilm