3 kati ya 10New Believer Course · 10 sura

3. Life After Death

If Jesus were still dead, we could not experience his life. His Spirit living inside us is one of the greatest gifts he offers.

Uliza lako

Nukuu za Biblia

Shiriki
1 Corinthians 15:1-5

Now, brothers, I want to remind you of the gospel I preached to you, which you received, and in which you stand firm. By this gospel you are saved, if you hold firmly to the word I preached to you. Otherwise, you have believed in vain. For what I received I passed on to you as of first importance: that Christ died for our sins according to the Scriptures, that He was buried, that He was raised on the third day according to the Scriptures, and that He appeared to Cephas and then to the Twelve.

Berean Standard Bible

Public Domain

Soma zaidi...
Rasilimali Bure

Ungependa kuelewa Biblia kwa kina zaidi?

Jiunge na masomo yetu ya Biblia

Nakala

Swahili, Tanzania (Kiswahili)
Uli wahi kujiulza kwanini ni muhimu sana kwamba Yesu alifufuka baada ya kufa kwa ajili yetu? Hebu fikiria kwa muda kile mtu aliyekufa anaweza kutupatia. Je, angeweza kutupatia uzima ? Hapana, atakuwa amekufa baada ya yote. Vipi kuhusu urafiki? Hmmm, labda sivyo. Vipi kuhusu kutupatia nguvu yakubadili maisha yetu? Kwahio, unaona shida. Habari njema ni kwamba kwa sababu Yesu alifufuka na bado anaishi, anaweza kubadilisha kila kitu. Lakini anawezaje kurudi kwenye uhai? Yesu alikuwa safi kabisa. Ambayo inamaana uovu unaotuua haukuweza kumuweka kaburini. Yeye ndiye mtu pekee mzuri hivi kwamba alishinda kifo! Sio tu kurekebisha kuvunjika kwetu, lakini kuosha maovu yetu na kutupatia uzima pamoja naye. Maisha ya uhuru na furaha, yaliyomiminwa katika upendo na huduma kwake. Kwa sababu uhai anaotoa hauna mwisho.
JesusFilm