Kipindi
8. The Bible
dakika 2FHD
8 kati ya 10Klipu 8 kati ya 10New Believer Course · 10 sura
8. The Bible
The Bible is called the Word of God because it is God’s way of explaining who he is, who we are, where we came from, and why we exist.
MaswaliMaswali Yanayohusiana
Uliza lakoNukuu za Biblia
ShirikiPsalm 119:105
Your word is a lamp to my feet and a light to my path.
Berean Standard Bible
Public Domain
Soma zaidi...Nakala
Swahili, Tanzania (Kiswahili)
Je, tunaanzaje kumwelewa Mungu wa ulimwengu mzima?
Hapo mwanzo Mungu alipowaumba watu wa kwanza na kuwaweka katika bustani nzuri.
alitembea nao, na kuwafundisha kibinafsi.
Mpaka maamuzi yao maovu yalipowatenga na upendo na uwepo wake.
Walakini watu hawakuishi bila tumaini.
Kwa sababu katika historia nzima, Mungu aliendelea kusema na waliompenda na kumtumikia,
na nyakati fulani, aliwaamuru kuandika na kuhifadhi yale aliyowafundisha.
Maandiko hayo yaliwekwa katika mkusanyo wa vitabu 66 vinavyoitwa Biblia.
Kupitia kusoma vitabu vya Biblia, tunaanza kuelewa Mungu ni nani, na ameahidi nini.
Pia, tulikotoka, sisi ni akina nani, na kusudi letu ni nini.
Kwa sababu tu ya mwongozo wa Biblia wa maisha mazima tunaweza kukua kumfahamu,
na kupata uhuru na maisha ambayo hayataisha.